Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    XXLTZ MUSIC
    Button
    XXLTZ MUSIC
    Uncategorized

    Historia fupi ya maisha ya Alikiba [ MAKALA ]

    Dj StarBoyBy Dj StarBoyNovember 18, 2017No Comments1 Min Read

    Historia fupi ya maisha ya Alikiba [ MAKALA ]

    Ali Saleh Kiba (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Ali Kiba; pia:King Kiba; alizaliwa 1986) ni mwanamuziki wa Tanzania, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo chini ya lebo ya Rockstar4000.

    Ali Kiba, Ni mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia ya watoto wanne, ambaye mdogo wake pia ni mwanamuziki wa Kitanzania.

    Ana vipaji vilivyo tofauti na wasanii wenzake, hivyo amejikita sehemu nyingine kwa kusajiliwa na Coastal Union kucheza mpira wa miguu kwa msimu wa 2018/2019 wa Vodacom Premier League.


    Mwaka 2011, Ali Kiba alichaguliwa kama “msanii wa kwanza wa Afrika Mashariki” – Tanzania, Kenya na Uganda. Kwa mwaka 2015 ameshinda tuzo tano za Kili awards.

    Tarehe 20 Mei 2016, kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na muziki “Sony Music Entertainment” ilitangaza kumsainisha mkataba wa kufanya kazi na Ali Kiba.

    Hadithi
    Dj StarBoy
    • Website

    Related Posts

    VIDEO | Burna Boy – Last Last | Download

    June 27, 2022

    VIDEO | Rayvanny Ft Marioo – Te Quiero | Download Mp4

    June 27, 2022

    VIDEO | ZABRON SINGERS – NIFUNDISHE | Download

    June 25, 2022
    Leave A Reply Cancel Reply

    Copyright © Your Home of Music & Entertainment News

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.