Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    XXLTZ MUSIC
    Button
    XXLTZ MUSIC
    Uncategorized

    Jinsi ya kutumia sekunde tatu kumtongoza mwanamke ( MAKALA )

    Dj StarBoyBy Dj StarBoyFebruary 18, 2021No Comments1 Min Read

    Jinsi ya kutumia sekunde tatu kumtongoza mwanamke ( MAKALA )

    Habari za muda huu mdau na mfuatiliaji wa makala mbalimbali zinazokujia kupitia mtandao huu wa XXLTZ MEDIA bila shaka umzima wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.

    Naomba nichukue walau dakika zako chache kuweza kukujuza mbinu hii ya sekunde tatu kuweza kumtongoza mwanamke yule umtakaye na endapo utatumia sekendu hii tatu mwanamke huyo ni lazima atakuwa wako.

    Sekunde tatu ni sekunde za maangamzi dhidi yako na yule unayemuona mbele yako. Endapo ukimwona mwanamke ambaye unataka kumtongoza, kwa kawaida kuna zile sekunde tatu za kwanza ambapo unafaa uchukue hatua kabla ile sauti ambayo inajaribu kuongea na wewe kukuzuia kufanya hivyo.

    Tunasisitiza uchukue hatua ya kuweza kumtongoza mwanamke huyo ndani ya sekunde tatu kwani ukishindwa kufanya hivyo basi mwanamke huyo atapita bila ya wewe kuweza kufanya hivyo.

    Kila mwanaume akichelewa kuapproach mwanamke kuna ile sauti ambayo inaanza kukuongelesha kwamba sijui hamna kitu hapo, hii ndiyo ile sauti ambayo inawafanya wanaume wengi wabaki kuwa single milele.

    kwahiyo la kufanya hapa ukimwona mwanamke unayetaka kumuapproach basi fanya fasta. Una sekunde tatu za kuweza kufanikisha mpango mzima la sivyo kila msichana mzuri anayepita mbele ya macho yako utaendelea kumuita shemaji.

    Hadithi
    Dj StarBoy
    • Website

    Related Posts

    VIDEO | Burna Boy – Last Last | Download

    June 27, 2022

    VIDEO | Rayvanny Ft Marioo – Te Quiero | Download Mp4

    June 27, 2022

    VIDEO | ZABRON SINGERS – NIFUNDISHE | Download

    June 25, 2022
    Leave A Reply Cancel Reply

    Copyright © Your Home of Music & Entertainment News

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.